Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 12:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

39 Asubuhi yake, askari wa Yuda walikwenda kuziokota maiti (jambo lililowapasa wafanye bila kukawia zaidi) na kuwaleta wazikwe na jamaa zao katika makaburi ya baba zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Siku iliyofuata waliona ni haraka na muhimu kukusanya miili ya wenzao waliokuwa wameuawa vitani, na kuizika katika makaburi ya wazee wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Siku iliyofuata waliona ni haraka na muhimu kukusanya miili ya wenzao waliokuwa wameuawa vitani, na kuizika katika makaburi ya wazee wao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

39 Asubuhi yake, askari wa Yuda walikwenda kuziokota maiti (jambo lililowapasa wafanye bila kukawia zaidi) na kuwaleta wazikwe na jamaa zao katika makaburi ya baba zao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

39 Siku iliyofuata waliona ni haraka na muhimu kukusanya miili ya wenzao waliokuwa wameuawa vitani, na kuizika katika makaburi ya wazee wao.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 12:39
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo