Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili 2 Wamakabayo 12:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC38 Baada ya hayo Yuda akaondoka na jeshi lake akaenda mji wa Abdulamu, wakajitakasa kama kawaida kwa kuwa siku ya saba ilikuwa karibu; wakaishika Sabato pale. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND38 Kisha Yuda aliwaongoza watu wake kwenda mjini Adulamu. Hiyo ilikuwa siku kabla ya Sabato, kwa hiyo wakajitakasa kadiri ya desturi ya Kiyahudi, kisha wakaadhimisha Sabato hapo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza38 Kisha Yuda aliwaongoza watu wake kwenda mjini Adulamu. Hiyo ilikuwa siku kabla ya Sabato, kwa hiyo wakajitakasa kadiri ya desturi ya Kiyahudi, kisha wakaadhimisha Sabato hapo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI38 Baada ya hayo Yuda akaondoka na jeshi lake akaenda mji wa Abdulamu, wakajitakasa kama kawaida kwa kuwa siku ya saba ilikuwa karibu; wakaishika Sabato pale. Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA38 Kisha Yuda aliwaongoza watu wake kwenda mjini Adulamu. Hiyo ilikuwa siku kabla ya Sabato, kwa hiyo wakajitakasa kadiri ya desturi ya Kiyahudi, kisha wakaadhimisha Sabato hapo. Tazama sura |