Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 12:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

36 Ezri na watu wake walipoanza kuchoka kwa vita virefu, Yuda alimwita BWANA ajioneshe kuwa yu msaidizi wao na kiongozi wao katika mapigano.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Wakati huo Wayahudi waliokuwa chini ya kamanda Esdri walikuwa wamepiga vita kwa muda mrefu, wakawa wamechoka. Basi, Yuda akasali ili Bwana aoneshe kwamba alikuwa upande wao, na kwamba anaongoza vikosi vyao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Wakati huo Wayahudi waliokuwa chini ya kamanda Esdri walikuwa wamepiga vita kwa muda mrefu, wakawa wamechoka. Basi, Yuda akasali ili Bwana aoneshe kwamba alikuwa upande wao, na kwamba anaongoza vikosi vyao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Ezri na watu wake walipoanza kuchoka kwa vita virefu, Yuda alimwita BWANA ajionyeshe kuwa yu msaidizi wao na kiongozi wao katika mapigano.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

36 Wakati huo Wayahudi waliokuwa chini ya kamanda Esdri walikuwa wamepiga vita kwa muda mrefu, wakawa wamechoka. Basi, Yuda akasali ili Bwana aoneshe kwamba alikuwa upande wao, na kwamba anaongoza vikosi vyao.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 12:36
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo