Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 12:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

35 Lakini Dositheo, mmoja wa Watobu, mpanda farasi hodari sana, alimshika Gorgia, akalikamata vazi lake na kumkokota kwa nguvu, akitaka kumtwaa huyu mlaaniwa yu hai. Lakini mpanda farasi mmoja wa Thraka alimjia kwa nguvu akamtia jeraha begani, na hivyo Gorgia aliokoka akakimbilia Marisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Lakini Myahudi mmoja kutoka mji wa Tobu, mpandafarasi mwenye nguvu, aliyeitwa Dositheo, alimshika Gorgia kwa kulikamata vazi lake, akaanza kumkokota kwa nguvu, akiwa na lengo la kumteka nyara huyo mlaanifu. Lakini, ghafla, mmoja wa wapandafarasi wa Thrakia akamwendea mbio Dositheo na kumkata mkono wake; kwa hiyo Gorgia akafaulu kutoroka na kwenda zake mjini Marisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Lakini Myahudi mmoja kutoka mji wa Tobu, mpandafarasi mwenye nguvu, aliyeitwa Dositheo, alimshika Gorgia kwa kulikamata vazi lake, akaanza kumkokota kwa nguvu, akiwa na lengo la kumteka nyara huyo mlaanifu. Lakini, ghafla, mmoja wa wapandafarasi wa Thrakia akamwendea mbio Dositheo na kumkata mkono wake; kwa hiyo Gorgia akafaulu kutoroka na kwenda zake mjini Marisa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

35 Lakini Dositheo, mmoja wa Watobu, mpanda farasi hodari sana, alimshika Gorgia, akalikamata vazi lake na kumkokota kwa nguvu, akitaka kumtwaa huyu mlaaniwa yu hai. Lakini mpanda farasi mmoja wa Thraka alimjia kwa nguvu akamtia jeraha begani, na hivyo Gorgia aliokoka akakimbilia Marisa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

35 Lakini Myahudi mmoja kutoka mji wa Tobu, mpandafarasi mwenye nguvu, aliyeitwa Dositheo, alimshika Gorgia kwa kulikamata vazi lake, akaanza kumkokota kwa nguvu, akiwa na lengo la kumteka nyara huyo mlaanifu. Lakini, ghafla, mmoja wa wapandafarasi wa Thrakia akamwendea mbio Dositheo na kumkata mkono wake; kwa hiyo Gorgia akafaulu kutoroka na kwenda zake mjini Marisa.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 12:35
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo