Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 12:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

31 kwa hiyo waliwashukuru tu, wakawasihi waendelee kuliangalia taifa lao kwa wema hata wakati ujao. Ndipo wakaenda Yerusalemu kwa kuwa Idi ya Majuma ilikuwa karibu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Basi, Yuda na watu wake wakawashukuru wenyeji hao na kuwahimiza waendelee kuwaonesha nia njema Wayahudi siku za mbele. Kisha wakaondoka na kwenda zao Yerusalemu, ambako waliwasili muda mfupi tu kabla ya sikukuu ya mavuno.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Basi, Yuda na watu wake wakawashukuru wenyeji hao na kuwahimiza waendelee kuwaonesha nia njema Wayahudi siku za mbele. Kisha wakaondoka na kwenda zao Yerusalemu, ambako waliwasili muda mfupi tu kabla ya sikukuu ya mavuno.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 kwa hiyo waliwashukuru tu, wakawasihi waendelee kuliangalia taifa lao kwa wema hata wakati ujao. Ndipo wakaenda Yerusalemu kwa kuwa Idi ya Majuma ilikuwa karibu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

31 Basi, Yuda na watu wake wakawashukuru wenyeji hao na kuwahimiza waendelee kuwaonesha nia njema Wayahudi siku za mbele. Kisha wakaondoka na kwenda zao Yerusalemu, ambako waliwasili muda mfupi tu kabla ya sikukuu ya mavuno.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 12:31
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo