Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili 2 Wamakabayo 12:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Lakini Wayahudi waliokaa huko waliishuhudia nia njema ya Waskithapoli, na hisani yao wakati wa shida; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Wayahudi waliokuwa huko walimweleza Yuda jinsi wakazi wa mji huo walivyowafanyia hisani, hasa wakati wa shida. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Wayahudi waliokuwa huko walimweleza Yuda jinsi wakazi wa mji huo walivyowafanyia hisani, hasa wakati wa shida. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI30 Lakini Wayahudi waliokaa huko waliishuhudia nia njema ya Waskithapoli, na hisani yao wakati wa shida; Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA30 Wayahudi waliokuwa huko walimweleza Yuda jinsi wakazi wa mji huo walivyowafanyia hisani, hasa wakati wa shida. Tazama sura |