Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 12:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

27 Na baada ya maangamizi hayo na uuaji aliuendea Efroni, mji wenye boma, alipokaa Lisia na watu wengi wa mataifa mbali mbali. Vijana wenye nguvu waliopangwa ukutani wakawazuia kwa juhudi, na ndani mlikuwa na akiba kubwa ya mitambo na silaha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Halafu, baada ya maangamizi hayo, akaushambulia pia mji wa Efroni wenye boma, makao ya Lisia na watu kutoka mataifa yote. Vijana wenye nguvu wakajipanga mbele ya kuta, wakapiga vita kwa ujasiri. Na ndani ya mji mlikuwa na akiba kubwa ya zana za vita na silaha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Halafu, baada ya maangamizi hayo, akaushambulia pia mji wa Efroni wenye boma, makao ya Lisia na watu kutoka mataifa yote. Vijana wenye nguvu wakajipanga mbele ya kuta, wakapiga vita kwa ujasiri. Na ndani ya mji mlikuwa na akiba kubwa ya zana za vita na silaha.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 Na baada ya maangamizi hayo na uuaji aliuendea Efroni, mji wenye boma, alipokaa Lisia na watu wengi wa mataifa mbali mbali. Vijana wenye nguvu waliopangwa ukutani wakawazuia kwa juhudi, na ndani mlikuwa na akiba kubwa ya mitambo na silaha.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

27 Halafu, baada ya maangamizi hayo, akaushambulia pia mji wa Efroni wenye boma, makao ya Lisia na watu kutoka mataifa yote. Vijana wenye nguvu wakajipanga mbele ya kuta, wakapiga vita kwa ujasiri. Na ndani ya mji mlikuwa na akiba kubwa ya zana za vita na silaha.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 12:27
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo