Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 12:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

25 Basi, akiisha kuapa kwa maneno mengi kwamba atawaacha hao waende zao salama, walimweka huru ili kuwaokoa ndugu zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Hatimaye, baada ya kuahidi kuwarudisha makwao hao jamaa za askari, Timotheo aliachiwa huru.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Hatimaye, baada ya kuahidi kuwarudisha makwao hao jamaa za askari, Timotheo aliachiwa huru.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Basi, akiisha kuapa kwa maneno mengi kwamba atawaacha hao waende zao salama, walimweka huru ili kuwaokoa ndugu zao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

25 Hatimaye, baada ya kuahidi kuwarudisha makwao hao jamaa za askari, Timotheo aliachiwa huru.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 12:25
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo