Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 12:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Timotheo mwenyewe alikutwa na vikosi vya Dositheo na Sosipatro. Akawabembeleza kwa ujanja mwingi wamwache aende zake, akisema kwamba wazazi wa wengi wao, na ndugu za wengine, wamo mikononi mwake, na kama yeye haachiliwi wao hawatahurumiwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Timotheo mwenyewe alikamatwa na askari wa Dositheo na Sosipateri. Lakini alikuwa mwerevu sana. Alifaulu kuwasadikisha kwamba jamaa zao wengi walikuwa wafungwa wake, na kwamba wangeuawa kama yeye asingeachiliwa aende zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Timotheo mwenyewe alikamatwa na askari wa Dositheo na Sosipateri. Lakini alikuwa mwerevu sana. Alifaulu kuwasadikisha kwamba jamaa zao wengi walikuwa wafungwa wake, na kwamba wangeuawa kama yeye asingeachiliwa aende zake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Timotheo mwenyewe alikutwa na vikosi vya Dositheo na Sosipatro. Akawabembeleza kwa ujanja mwingi wamwache aende zake, akisema kwamba wazazi wa wengi wao, na ndugu za wengine, wamo mikononi mwake, na kama yeye haachiliwi wao hawatahurumiwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

24 Timotheo mwenyewe alikamatwa na askari wa Dositheo na Sosipateri. Lakini alikuwa mwerevu sana. Alifaulu kuwasadikisha kwamba jamaa zao wengi walikuwa wafungwa wake, na kwamba wangeuawa kama yeye asingeachiliwa aende zake.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 12:24
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo