Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 12:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Timotheo alipopata habari za kuja kwake Yuda, aliwaondoa wanawake na watoto, pamoja na mizigo, akawapeleka mbele kwenye mahali paitwapo Karnaimu, ngome iliyokuwa ngumu ya kuhusuriwa au kukaribiwa kwa sababu njia za kuiendea pande zote zilikuwa nyembamba sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Timotheo alipogundua kwamba Yuda alikuwa anamwandama, aliwatanguliza wanawake na watoto pamoja na mizigo, waende Karnaimu, mji ambao ulikuwa karibu hauwezekani kuuzingira au hata kuufikia, kwa sababu vinjia vya kuendea huko vilikuwa vyembamba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Timotheo alipogundua kwamba Yuda alikuwa anamwandama, aliwatanguliza wanawake na watoto pamoja na mizigo, waende Karnaimu, mji ambao ulikuwa karibu hauwezekani kuuzingira au hata kuufikia, kwa sababu vinjia vya kuendea huko vilikuwa vyembamba.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Timotheo alipopata habari za kuja kwake Yuda, aliwaondoa wanawake na watoto, pamoja na mizigo, akawapeleka mbele mahali paitwapo Karnaimu, ngome iliyokuwa ngumu ya kuhusuriwa au kukaribiwa kwa sababu njia za kuiendea pande zote zilikuwa nyembamba sana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

21 Timotheo alipogundua kwamba Yuda alikuwa anamwandama, aliwatanguliza wanawake na watoto pamoja na mizigo, waende Karnaimu, mji ambao ulikuwa karibu hauwezekani kuuzingira au hata kuufikia, kwa sababu vinjia vya kuendea huko vilikuwa vyembamba.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 12:21
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo