Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 12:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Makabayo naye alipanga jeshi lake vikosi vikosi, akaweka mkuu juu ya kila kikosi, akaenda mbio kumfuatia Timotheo, ambaye alikuwa na askari elfu mia moja na ishirini na wapanda farasi elfu mbili na mia tano.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Halafu Yuda Makabayo akaligawa jeshi lake katika vikosi kadha, akawaweka Dositheo na Sosipateri waongoze kila mmoja kikosi chake, akaondoka mbio kumwandama Timotheo, aliyekuwa na askari wa miguu 120,000, na wapandafarasi 2,500.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Halafu Yuda Makabayo akaligawa jeshi lake katika vikosi kadha, akawaweka Dositheo na Sosipateri waongoze kila mmoja kikosi chake, akaondoka mbio kumwandama Timotheo, aliyekuwa na askari wa miguu 120,000, na wapandafarasi 2,500.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Makabayo naye alipanga jeshi lake vikosi vikosi, akaweka mkuu juu ya kila kikosi, akaenda mbio kumfuatia Timotheo, ambaye alikuwa na askari elfu mia moja na ishirini na wapanda farasi elfu mbili na mia tano.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

20 Halafu Yuda Makabayo akaligawa jeshi lake katika vikosi kadha, akawaweka Dositheo na Sosipateri waongoze kila mmoja kikosi chake, akaondoka mbio kumwandama Timotheo, aliyekuwa na askari wa miguu 120,000, na wapandafarasi 2,500.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 12:20
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo