Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 12:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Dositheo na Sosipatro, majemadari wa Makabayo, wakaenda huko wakawaua wale walioachwa na Timotheo ngomeni, zaidi ya elfu kumi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Makapteni wawili wa Yuda Makabayo, Dositheo na Sosipateri, wakaishambulia ngome hiyo na kuwaua wote walioachwa humo na Timotheo, watu 10,000.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Makapteni wawili wa Yuda Makabayo, Dositheo na Sosipateri, wakaishambulia ngome hiyo na kuwaua wote walioachwa humo na Timotheo, watu 10,000.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Dositheo na Sosipatro, majemadari wa Makabayo, wakaenda huko wakawaua wale walioachwa na Timotheo ngomeni, zaidi ya elfu kumi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

19 Makapteni wawili wa Yuda Makabayo, Dositheo na Sosipateri, wakaishambulia ngome hiyo na kuwaua wote walioachwa humo na Timotheo, watu 10,000.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 12:19
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo