Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 12:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Hawakumkuta Timotheo huko; alikuwa ameondoka bila kufanya kitu, akiacha kikosi kikubwa cha askari katika ngome fulani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Lakini hawakumkuta Timotheo hapo, kwa vile alikuwa amekwisha ondoka sehemu hizo. Hakuwa amefanya lolote hapo, isipokuwa kuacha kikosi hodari katika ngome fulani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Lakini hawakumkuta Timotheo hapo, kwa vile alikuwa amekwisha ondoka sehemu hizo. Hakuwa amefanya lolote hapo, isipokuwa kuacha kikosi hodari katika ngome fulani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Hawakumkuta Timotheo huko; alikuwa ameondoka bila kufanya kitu, akiacha kikosi kikubwa cha askari katika ngome fulani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

18 Lakini hawakumkuta Timotheo hapo, kwa vile alikuwa amekwisha ondoka sehemu hizo. Hakuwa amefanya lolote hapo, isipokuwa kuacha kikosi hodari katika ngome fulani.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 12:18
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo