Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 12:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Wakazishambulia kuta kwa ukali, wakautwaa mji kwa mapenzi ya Mungu. Wakaua watu wengi wasio hesabika, hata ziwa lililokuwapo karibu, lenye upana wa robo maili, lilionekana limejaa kwa wingi wa damu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 na kwa sababu Mungu alitaka, wakauteka mji. Wayahudi waliwaua watu wengi hivi hata ziwa la karibu, ambalo lilikuwa na upana upatao robo kilomita, likaonekana linafurika damu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 na kwa sababu Mungu alitaka, wakauteka mji. Wayahudi waliwaua watu wengi hivi hata ziwa la karibu, ambalo lilikuwa na upana upatao robo kilomita, likaonekana linafurika damu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Wakazishambulia kuta kwa ukali, wakautwaa mji kwa mapenzi ya Mungu. Wakaua watu wengi wasio hesabika, hata ziwa lililokuwapo karibu, lenye upana wa robo maili, lilionekana limejaa kwa wingi wa damu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

16 na kwa sababu Mungu alitaka, wakauteka mji. Wayahudi waliwaua watu wengi hivi hata ziwa la karibu, ambalo lilikuwa na upana upatao robo kilomita, likaonekana linafurika damu.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 12:16
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo