Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 12:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Lakini Yuda na watu wake walimwomba Mfalme mkuu wa ulimwengu, yule ambaye aliuangusha mji wa Yeriko zamani za Yoshua bila mitambo ya kubomolea au silaha nyinginezo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Lakini Wayahudi wakasali kwa Mwenyezi-Mungu, Bwana wa ulimwengu, ambaye alikuwa ameziporomosha kuta za Yeriko wakati wa Yoshua bila ya kutumia mitambo ya kubomolea au silaha nyinginezo. Kisha wakaushambulia kwa nguvu huo ukuta,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Lakini Wayahudi wakasali kwa Mwenyezi-Mungu, Bwana wa ulimwengu, ambaye alikuwa ameziporomosha kuta za Yeriko wakati wa Yoshua bila ya kutumia mitambo ya kubomolea au silaha nyinginezo. Kisha wakaushambulia kwa nguvu huo ukuta,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Lakini Yuda na watu wake walimwomba Mfalme mkuu wa ulimwengu, yule ambaye aliuangusha mji wa Yeriko zamani za Yoshua bila mitambo ya kubomolea au silaha nyinginezo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

15 Lakini Wayahudi wakasali kwa Mwenyezi-Mungu, Bwana wa ulimwengu, ambaye alikuwa ameziporomosha kuta za Yeriko wakati wa Yoshua bila ya kutumia mitambo ya kubomolea au silaha nyinginezo. Kisha wakaushambulia kwa nguvu huo ukuta,

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 12:15
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo