Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 12:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Mapigano yalikuwa makali sana, lakini Yuda na watu wake walishinda kwa msaada wa Mungu. Wale wahamaji waliposhindwa, walimwomba Yuda afanye urafiki nao, wakiahidi kumpa wanyama na kuwasaidia kwa njia nyinginezo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Baada ya mapigano makali sana, kwa msaada wa Mungu, Yuda na wenzake walishinda. Ndipo mabedui hao walioshindwa wakaomba wawe marafiki wa Wayahudi, wakiahidi kuwapa wanyama na kuwasaidia kwa njia nyinginezo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Baada ya mapigano makali sana, kwa msaada wa Mungu, Yuda na wenzake walishinda. Ndipo mabedui hao walioshindwa wakaomba wawe marafiki wa Wayahudi, wakiahidi kuwapa wanyama na kuwasaidia kwa njia nyinginezo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Mapigano yalikuwa makali sana, lakini Yuda na watu wake walishinda kwa msaada wa Mungu. Wale wahamaji waliposhindwa, walimwomba Yuda afanye urafiki nao, wakiahidi kumpa wanyama na kuwasaidia kwa njia nyinginezo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

11 Baada ya mapigano makali sana, kwa msaada wa Mungu, Yuda na wenzake walishinda. Ndipo mabedui hao walioshindwa wakaomba wawe marafiki wa Wayahudi, wakiahidi kuwapa wanyama na kuwasaidia kwa njia nyinginezo.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 12:11
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo