Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 11:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Nao wote kwa umoja walimhimidi BWANA mwenye rehema, wakajipa moyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Mara, wote kwa pamoja, wakamshukuru Mungu kwa huruma yake; alikuwa amewatia ujasiri wa kutosha kwa kushambulia si binadamu tu, bali pia wanyama wakali na hata kuta za chuma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Mara, wote kwa pamoja, wakamshukuru Mungu kwa huruma yake; alikuwa amewatia ujasiri wa kutosha kwa kushambulia – si binadamu tu, bali pia wanyama wakali na hata kuta za chuma.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Nao wote kwa umoja walimhimidi BWANA mwenye rehema, wakajipa moyo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

9 Mara, wote kwa pamoja, wakamshukuru Mungu kwa huruma yake; alikuwa amewatia ujasiri wa kutosha kwa kushambulia si binadamu tu, bali pia wanyama wakali na hata kuta za chuma.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 11:9
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo