Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 11:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Hata kabla hawajaenda mbali na Yerusalemu, mpanda farasi alitokea mbele yao, amevikwa nguo nyeupe na kushika silaha za dhahabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Lakini, kabla hawajaenda mbali na Yerusalemu, kwa ghafla wakagundua kwamba walikuwa wanaongozwa na mpandafarasi mwenye mavazi meupe, amechukua silaha za dhahabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Lakini, kabla hawajaenda mbali na Yerusalemu, kwa ghafla wakagundua kwamba walikuwa wanaongozwa na mpandafarasi mwenye mavazi meupe, amechukua silaha za dhahabu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Hata kabla hawajaenda mbali na Yerusalemu, mpanda farasi alitokea mbele yao, amevikwa nguo nyeupe na kushika silaha za dhahabu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

8 Lakini, kabla hawajaenda mbali na Yerusalemu, kwa ghafla wakagundua kwamba walikuwa wanaongozwa na mpandafarasi mwenye mavazi meupe, amechukua silaha za dhahabu.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 11:8
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo