Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 11:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Makabayo mwenyewe alikuwa wa kwanza wa kutwaa silaha, akawaita wengine wamfuate kwa ujasiri wawaokoe ndugu zao. Wakatoka pamoja naye kwa moyo mkuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Yuda Makabayo alikuwa wa kwanza kuchukua silaha, akawahimiza wengine wajiunge naye katika kutoa mhanga maisha yao ili kuwasaidia Wayahudi wenzao. Hivi, wakatoka pamoja naye kwa ari na motomoto kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Yuda Makabayo alikuwa wa kwanza kuchukua silaha, akawahimiza wengine wajiunge naye katika kutoa mhanga maisha yao ili kuwasaidia Wayahudi wenzao. Hivi, wakatoka pamoja naye kwa ari na motomoto kabisa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Makabayo mwenyewe alikuwa wa kwanza wa kutwaa silaha, akawaita wengine wamfuate kwa ujasiri wawaokoe ndugu zao. Wakatoka pamoja naye kwa moyo mkuu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

7 Yuda Makabayo alikuwa wa kwanza kuchukua silaha, akawahimiza wengine wajiunge naye katika kutoa mhanga maisha yao ili kuwasaidia Wayahudi wenzao. Hivi, wakatoka pamoja naye kwa ari na motomoto kabisa.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 11:7
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo