Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 11:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

36 Lakini juu ya yale aliyoyaona yamhusu mfalme, lete mtu kwetu mara moja, mkiisha kuwafikiria vema, ili tutangaze masharti ya kufaa. Tunakwenda Antiokia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Sasa tumo njiani kwenda Antiokia; kwa hiyo, yachunguzeni kwa makini masuala yale ambayo Lisia alimwuliza mfalme. Halafu tuleteeni majibu haraka kusudi tuweze kuwawakilisheni kwa mfalme, kwa manufaa yenu. Fanyeni hilo mapema iwezekanavyo,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Sasa tumo njiani kwenda Antiokia; kwa hiyo, yachunguzeni kwa makini masuala yale ambayo Lisia alimwuliza mfalme. Halafu tuleteeni majibu haraka kusudi tuweze kuwawakilisheni kwa mfalme, kwa manufaa yenu. Fanyeni hilo mapema iwezekanavyo,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Lakini juu ya yale aliyoyaona yamhusu mfalme, lete mtu kwetu mara moja, mkiisha kuwafikiria vema, ili tutangaze masharti ya kufaa. Tunakwenda Antiokia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

36 Sasa tumo njiani kwenda Antiokia; kwa hiyo, yachunguzeni kwa makini masuala yale ambayo Lisia alimwuliza mfalme. Halafu tuleteeni majibu haraka kusudi tuweze kuwawakilisheni kwa mfalme, kwa manufaa yenu. Fanyeni hilo mapema iwezekanavyo,

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 11:36
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo