Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili 2 Wamakabayo 11:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC35 Yale masharti yenu yaliyokubaliwa na Lisia, nduguye mfalme sisi pia tumeyakubali. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Sisi tunakubaliana kabisa masharti yote mliyopewa na Lisia, nduguye mfalme. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Sisi tunakubaliana kabisa masharti yote mliyopewa na Lisia, nduguye mfalme. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI35 Yale masharti yenu yaliyokubaliwa na Lisia, nduguye mfalme sisi pia tumeyakubali. Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA35 Sisi tunakubaliana kabisa masharti yote mliyopewa na Lisia, nduguye mfalme. Tazama sura |