Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili 2 Wamakabayo 11:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC28 Kama hamjambo ndivyo tuombavyo. Sisi huku hatujambo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Natumaini mambo yenu yote yanawaendea vizuri kama ninavyotamani. Mimi ni mzima wa afya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Natumaini mambo yenu yote yanawaendea vizuri kama ninavyotamani. Mimi ni mzima wa afya. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI28 Kama hamjambo ndivyo tuombavyo. Sisi huku hatujambo. Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA28 Natumaini mambo yenu yote yanawaendea vizuri kama ninavyotamani. Mimi ni mzima wa afya. Tazama sura |