Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili 2 Wamakabayo 11:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 alikusanya askari wapata elfu nane, pamoja na wapanda farasi wake wote, akawaendea Wayahudi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 akaongoza askari wa miguu 80,000 na wapandafarasi wake wote dhidi ya Wayahudi. Alikuwa na shabaha ya kuufanya mji wa Yerusalemu makao ya Wagiriki, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 akaongoza askari wa miguu 80,000 na wapandafarasi wake wote dhidi ya Wayahudi. Alikuwa na shabaha ya kuufanya mji wa Yerusalemu makao ya Wagiriki, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 alikusanya askari wapata elfu nane, pamoja na wapanda farasi wake wote, akawaendea Wayahudi. Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA2 akaongoza askari wa miguu 80,000 na wapandafarasi wake wote dhidi ya Wayahudi. Alikuwa na shabaha ya kuufanya mji wa Yerusalemu makao ya Wagiriki, Tazama sura |