Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili 2 Wamakabayo 11:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Basi, nimemwarifu mfalme mambo yote yampasayo kuyajua, naye amekubali yote aliyoyaweza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Nimemwarifu mfalme kuhusu masuala yote ambayo mlitaka kuweka mbele yake, naye amekubali kufanya lolote linalowezekana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Nimemwarifu mfalme kuhusu masuala yote ambayo mlitaka kuweka mbele yake, naye amekubali kufanya lolote linalowezekana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Basi, nimemwarifu mfalme mambo yote yampasayo kuyajua, naye amekubali yote aliyoyaweza. Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA18 Nimemwarifu mfalme kuhusu masuala yote ambayo mlitaka kuweka mbele yake, naye amekubali kufanya lolote linalowezekana. Tazama sura |