Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 11:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Huyu Lisia hakuwa mjinga. Alifikiri juu ya kushindwa kwake, akafahamu kwamba Waebrania hawashindiki kwa kuwa Mwenyezi Mungu yupo upande wao. Basi, alipeleka watu kupatana nao kwa masharti ya haki juu ya mambo yote,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Lisia, kwa vile hakuwa mjinga, alitafakari juu ya kushindwa kwake vitani, akatambua kwamba Wayahudi walikuwa hawashindiki kwa sababu Mungu Mwenye Nguvu alikuwa amewapigania. Kwa hiyo akapeleka ujumbe,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Lisia, kwa vile hakuwa mjinga, alitafakari juu ya kushindwa kwake vitani, akatambua kwamba Wayahudi walikuwa hawashindiki kwa sababu Mungu Mwenye Nguvu alikuwa amewapigania. Kwa hiyo akapeleka ujumbe,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Huyu Lisia hakuwa mjinga. Alifikiri juu ya kushindwa kwake, akafahamu kwamba Waebrania hawashindiki kwa kuwa Mwenyezi Mungu yupo upande wao. Basi, alipeleka watu kupatana nao kwa masharti ya haki juu ya mambo yote,

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

13 Lisia, kwa vile hakuwa mjinga, alitafakari juu ya kushindwa kwake vitani, akatambua kwamba Wayahudi walikuwa hawashindiki kwa sababu Mungu Mwenye Nguvu alikuwa amewapigania. Kwa hiyo akapeleka ujumbe,

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 11:13
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo