Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 11:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Wakawarukia adui kama simba, wakaua askari elfu kumi na moja, na wapanda farasi elfu moja na mia sita, wakawakimbiza wengine wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Kama simba, waliwarukia maadui zao na kuwaangusha askari wa miguu 11,000, na wapandafarasi 1,600, na kuwafanya wengine wakimbie.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Kama simba, waliwarukia maadui zao na kuwaangusha askari wa miguu 11,000, na wapandafarasi 1,600, na kuwafanya wengine wakimbie.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Wakawarukia adui kama simba, wakaua askari elfu kumi na moja, na wapanda farasi elfu moja na mia sita, wakawakimbiza wengine wote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

11 Kama simba, waliwarukia maadui zao na kuwaangusha askari wa miguu 11,000, na wapandafarasi 1,600, na kuwafanya wengine wakimbie.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 11:11
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo