2 Wathesalonike 3:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Mnajua wenyewe jinsi iwapasavyo kutufuata; kwa sababu hatukuenda bila utaratibu kwenu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Nyinyi wenyewe mnajua kwamba mnapaswa kufuata mfano wetu. Sisi tulipokuwa nanyi hatukuwa wavivu; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Nyinyi wenyewe mnajua kwamba mnapaswa kufuata mfano wetu. Sisi tulipokuwa nanyi hatukuwa wavivu; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Nyinyi wenyewe mnajua kwamba mnapaswa kufuata mfano wetu. Sisi tulipokuwa nanyi hatukuwa wavivu; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Maana ninyi wenyewe mnajua jinsi iwapasavyo kufuata mfano wetu. Sisi hatukuwa wavivu tulipokuwa pamoja nanyi, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Maana ninyi wenyewe mnajua jinsi iwapasavyo kufuata mfano wetu. Sisi hatukuwa wavivu tulipokuwa pamoja nanyi, Tazama sura |