Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wathesalonike 3:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Lakini ninyi, ndugu, msikate tamaa katika kutenda mema.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Lakini nyinyi ndugu, msichoke kutenda mema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Lakini nyinyi ndugu, msichoke kutenda mema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Lakini nyinyi ndugu, msichoke kutenda mema.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Lakini kwenu ninyi, ndugu, kamwe msichoke katika kutenda mema.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kwa upande wenu, ndugu, ninyi kamwe msichoke katika kutenda mema.

Tazama sura Nakili




2 Wathesalonike 3:13
17 Marejeleo ya Msalaba  

Naamini ya kuwa nitauona wema wa BWANA Katika nchi ya walio hai.


Katika siku ile Yerusalemu utaambiwa, Usiogope, Ee Sayuni; mikono yako isilegee.


Tena mwasema, Tazama, jambo hili linatuchokesha namna gani! Nanyi mmelidharau, asema BWANA wa majeshi; nanyi mmeleta kitu kilichopatikana kwa udhalimu, na kilema, na kilicho kigonjwa; ndivyo mnavyoleta sadaka; je! Niikubali hii mikononi mwenu? Asema BWANA.


Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.


wale ambao kwa subira katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutoharibika, watapewa uzima wa milele;


Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Mungu awe yote katika wote.


Kwa sababu hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii, kwa jinsi tulivyopata rehema, hatulegei;


Kwa hiyo hatulegei; bali ijapokuwa utu wetu wa nje unachakaa, lakini utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku.


Tena maofisa na waseme zaidi na watu, wawaambie, Ni mtu gani aliye hapa tena mwenye hofu na moyo mnyonge? Aende akarudi nyumbani kwake, isije mioyo ya nduguze ikayeyuka mfano wa moyo wake.


Na hii ndiyo dua yangu, kwamba pendo lenu lizidi kuwa jingi sana, katika hekima na ufahamu wote;


Iliyobaki, ndugu, tunawasihi na kuwaonya kwamba mwenende katika Bwana Yesu; kama mlivyopokea kwetu jinsi iwapasavyo kuenenda na kumpendeza Mungu, kama nanyi mnavyoenenda, vivyo hivyo mpate kuzidi sana.


lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.


Maana mtafakarini sana yeye aliyeyastahimili upinzani mkuu namna hii ya watendao dhambi juu ya nafsi zao, msije mkachoka, mkizimia mioyoni mwenu.


tena mmeyasahau yale maonyo, yasemayo nanyi kama kusema na wana, Mwanangu, usiyadharau maonyo ya Bwana, Wala usife moyo ukiadhibiwa naye;


tena ulikuwa na subira na kuvumilia kwa ajili ya jina langu, wala hukuchoka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo