2 Wathesalonike 2:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 kuja kwa yule mwasi ni kazi ya Shetani, atumiaye uwezo wote, ishara na ajabu za uongo; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Huyo Mwovu atakuja na nguvu za Shetani na kufanya kila namna ya miujiza na maajabu ya uongo, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Huyo Mwovu atakuja na nguvu za Shetani na kufanya kila namna ya miujiza na maajabu ya uongo, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Huyo Mwovu atakuja na nguvu za Shetani na kufanya kila namna ya miujiza na maajabu ya uongo, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Kuja kwa yule mwasi kutalingana na vile Shetani hufanya kazi. Atatumia nguvu za aina mbalimbali katika miujiza, na ishara na ajabu za uongo, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Kuja kwa yule mwasi kutaonekana kana kwamba ni kutenda kazi kwake Shetani ambaye hutumia nguvu zote, ishara, maajabu ya uongo, Tazama sura |