2 Wathesalonike 2:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Na sasa lizuialo mnalijua, yule apate kufunuliwa wakati wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Lakini kuna kitu kinachomzuia sasa, nanyi mwakijua kitu hicho. Basi, huyo Mwovu ataonekana wakati wake ufaao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Lakini kuna kitu kinachomzuia sasa, nanyi mwakijua kitu hicho. Basi, huyo Mwovu ataonekana wakati wake ufaao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Lakini kuna kitu kinachomzuia sasa, nanyi mwakijua kitu hicho. Basi, huyo Mwovu ataonekana wakati wake ufaao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Nanyi sasa mnajua kinachomzuia, ili apate kudhihirishwa wakati wake utakapowadia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Nanyi sasa mnajua kinachomzuia, ili apate kudhihirishwa wakati wake utakapowadia. Tazama sura |