2 Wathesalonike 1:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 watakaoadhibiwa kwa maangamizi ya milele, kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa nguvu zake; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Adhabu yao itakuwa kuangamizwa milele na kutengwa mbali na utukufu wake mkuu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Adhabu yao itakuwa kuangamizwa milele na kutengwa mbali na utukufu wake mkuu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Adhabu yao itakuwa kuangamizwa milele na kutengwa mbali na utukufu wake mkuu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Wataadhibiwa kwa uangamivu wa milele na kutengwa na uso wa Mwenyezi Mungu na utukufu wa uweza wake, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Wataadhibiwa kwa uangamivu wa milele na kutengwa na uso wa Bwana Isa na utukufu wa uweza wake, Tazama sura |