2 Wathesalonike 1:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 katika muali wa moto; huku akiwalipiza kisasi wao wasiomjua Mungu, na wao wasioitii Injili ya Bwana wetu Yesu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 na miali ya moto, kuwaadhibu wale wanaomkataa Mungu na wale wasiotii Habari Njema ya Bwana wetu Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 na miali ya moto, kuwaadhibu wale wanaomkataa Mungu na wale wasiotii Habari Njema ya Bwana wetu Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 na miali ya moto, kuwaadhibu wale wanaomkataa Mungu na wale wasiotii Habari Njema ya Bwana wetu Yesu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Atawaadhibu wale wasiomjua Mungu na ambao hawakuitii Injili ya Bwana wetu Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Atawaadhibu wale wasiomjua Mwenyezi Mungu na ambao hawakuitii Injili ya Bwana wetu Isa. Tazama sura |