2 Wathesalonike 1:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Kwa kuwa ni haki mbele za Mungu kuwalipa mateso wale wawatesao ninyi; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Mungu atafanya jambo la haki: Atawalipa mateso wale wanaowatesa nyinyi Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Mungu atafanya jambo la haki: Atawalipa mateso wale wanaowatesa nyinyi Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Mungu atafanya jambo la haki: atawalipa mateso wale wanaowatesa nyinyi Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Mungu ni mwenye haki: yeye atawalipa mateso wale wanaowatesa ninyi, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Mungu ni mwenye haki: yeye atawalipa mateso wale wawatesao ninyi Tazama sura |