2 Wakorintho 9:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Lakini nasema neno hili, Apandaye haba atavuna haba; apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Kumbukeni: “Apandaye kidogo huvuna kidogo; apandaye kwa wingi huvuna kwa wingi.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Kumbukeni: “Apandaye kidogo huvuna kidogo; apandaye kwa wingi huvuna kwa wingi.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Kumbukeni: “Apandaye kidogo huvuna kidogo; apandaye kwa wingi huvuna kwa wingi.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Kumbukeni kwamba: Yeyote apandaye haba pia atavuna haba, naye apandaye kwa ukarimu pia atavuna kwa ukarimu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Kumbukeni kwamba: Yeyote apandaye kwa uchache pia atavuna kwa uchache, naye apandaye kwa ukarimu pia atavuna kwa ukarimu. Tazama sura |