2 Wakorintho 8:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Tukijiepusha na neno hili, mtu asije akatulaumu kuhusu karama hii tunayoitumikia; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Tunataka kuepa lawama zinazoweza kutokea kuhusu usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Tunataka kuepa lawama zinazoweza kutokea kuhusu usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Tunataka kuepa lawama zinazoweza kutokea kuhusu usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Tunataka kuepuka lawama yoyote kuhusu jinsi tunavyosimamia matoleo haya ya ukarimu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Tunataka kuepuka lawama yoyote kuhusu jinsi tunavyosimamia matoleo haya ya ukarimu. Tazama sura |