Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 8:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Tukijiepusha na neno hili, mtu asije akatulaumu kuhusu karama hii tunayoitumikia;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Tunataka kuepa lawama zinazoweza kutokea kuhusu usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Tunataka kuepa lawama zinazoweza kutokea kuhusu usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Tunataka kuepa lawama zinazoweza kutokea kuhusu usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Tunataka kuepuka lawama yoyote kuhusu jinsi tunavyosimamia matoleo haya ya ukarimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Tunataka kuepuka lawama yoyote kuhusu jinsi tunavyosimamia matoleo haya ya ukarimu.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 8:20
9 Marejeleo ya Msalaba  

Walakini hawakufanya hesabu na hao watu, waliokabidhiwa fedha hiyo ili wawape watenda kazi; kwa kuwa walitenda kwa uaminifu.


Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwamwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.


Basi, huo wema wenu usitajwe kwa ubaya.


nami nitakapofika nitawatuma kwa barua wale mtakaowachagua, wachukue hisani yenu mpaka Yerusalemu.


Lakini nifanyalo nitalifanya, ili niwapinge hao watafutao nafasi wasipate nafasi; ili kwamba katika neno hilo wajisifialo waonekane kuwa kama sisi.


Wala si hivyo tu, bali alichaguliwa na makanisa asafiri pamoja nasi katika jambo la neema hii, tunayoitumikia, ili Bwana atukuzwe, ukadhihirike utayari wetu.


tukitangulia kufikiri yaliyo mema, si mbele za Bwana tu, ila na mbele ya wanadamu.


Basi angalieni sana jinsi mnavyoenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima;


jitengeni na ubaya wa kila namna.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo