Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 8:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Maana sisemi hayo, ili wengine wapate raha nanyi mpate dhiki;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Nyinyi hampaswi kuongezewa taabu kusudi wengine wapunguziwe mzigo wao; sivyo, ila ni lazima tujali usawa na haki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Nyinyi hampaswi kuongezewa taabu kusudi wengine wapunguziwe mzigo wao; sivyo, ila ni lazima tujali usawa na haki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Nyinyi hampaswi kuongezewa taabu kusudi wengine wapunguziwe mzigo wao; sivyo, ila ni lazima tujali usawa na haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Nia yetu si kwamba wengine wasaidike wakati ninyi mnateseka, bali pawe na uwiano.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Nia yetu si kwamba wengine wasaidike wakati ninyi mnateseka, bali pawe na uwiano.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 8:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

Tena katika miji mtakayotoa ya hiyo milki ya wana wa Israeli, katika hao walio wengi mtatwaa miji mingi; na katika hao walio wachache mtatwaa miji michache; kila mtu kama ulivyo urithi wake atakaourithi, atawapa Walawi katika miji yake.


Wala hapakuwa na mtu mmoja miongoni mwao mwenye mahitaji; kwa sababu watu wote waliokuwa na viwanja au nyumba waliviuza, wakaileta thamani ya vitu vile vilivyouzwa,


Maana, kama nia ipo, hukubaliwa kwa kadiri ya alivyo navyo mtu, si kwa kadiri ya asivyo navyo.


bali mambo yawe sawasawa; wakati huu wa sasa wingi wenu uwafae upungufu wao, ili na wingi wao uwafae ninyi mtakapopungukiwa; ili mambo yawe sawasawa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo