2 Wakorintho 8:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Maana sisemi hayo, ili wengine wapate raha nanyi mpate dhiki; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Nyinyi hampaswi kuongezewa taabu kusudi wengine wapunguziwe mzigo wao; sivyo, ila ni lazima tujali usawa na haki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Nyinyi hampaswi kuongezewa taabu kusudi wengine wapunguziwe mzigo wao; sivyo, ila ni lazima tujali usawa na haki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Nyinyi hampaswi kuongezewa taabu kusudi wengine wapunguziwe mzigo wao; sivyo, ila ni lazima tujali usawa na haki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Nia yetu si kwamba wengine wasaidike wakati ninyi mnateseka, bali pawe na uwiano. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Nia yetu si kwamba wengine wasaidike wakati ninyi mnateseka, bali pawe na uwiano. Tazama sura |