2 Wakorintho 6:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 bali katika kila neno tujipatie sifa njema, kama watumishi wa Mungu; katika subira nyingi, katika mateso, katika shida, katika matatizo; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Badala yake, tunajionesha kuwa kweli watumishi wa Mungu kwa kila kitu: Kwa uvumilivu mwingi wakati wa mateso, shida na taabu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Badala yake, tunajionesha kuwa kweli watumishi wa Mungu kwa kila kitu: Kwa uvumilivu mwingi wakati wa mateso, shida na taabu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Badala yake, tunajionesha kuwa kweli watumishi wa Mungu kwa kila kitu: kwa uvumilivu mwingi wakati wa mateso, shida na taabu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Bali tunajidhihirisha kuwa watumishi wa Mungu kwa kila njia: katika saburi nyingi; katika dhiki, katika misiba, na katika shida; Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Bali kama watumishi wa Mungu tuonyeshe kwa kila njia: katika saburi nyingi; katika dhiki, katika misiba, na katika shida; Tazama sura |