2 Wakorintho 6:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Tusiwe kwazo la namna yoyote katika jambo lolote, ili utumishi wetu usilaumiwe; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Kusudi tusiwe na lawama yoyote katika utumishi wetu, hatupendi kumwekea mtu yeyote kizuizi chochote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Kusudi tusiwe na lawama yoyote katika utumishi wetu, hatupendi kumwekea mtu yeyote kizuizi chochote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Kusudi tusiwe na lawama yoyote katika utumishi wetu, hatupendi kumwekea mtu yeyote kizuizi chochote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Hatuweki kikwazo katika njia ya mtu yeyote, ili huduma yetu isionekane kuwa na lawama. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Hatuweki kitu cha kukwaza katika njia ya mtu yeyote, ili huduma yetu isionekane kuwa na lawama. Tazama sura |