2 Wakorintho 6:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Kwa hiyo Bwana asema pia: “Ondokeni kati yao, mkajitenge nao; msiguse kitu najisi, nami nitawapokea. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Kwa hiyo Bwana asema pia: “Ondokeni kati yao, mkajitenge nao; msiguse kitu najisi, nami nitawapokea. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Kwa hiyo Bwana asema pia: “Ondokeni kati yao, mkajitenge nao; msiguse kitu najisi, nami nitawapokea. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Kwa hiyo, “Tokeni miongoni mwao, mkatengwe nao, asema Mwenyezi Mungu. Msiguse kitu chochote kilicho najisi, nami nitawakaribisha.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 “Kwa hiyo tokeni miongoni mwao, mkatengwe nao, asema Bwana Mwenyezi. Msiguse kitu chochote kilicho najisi, nami nitawakaribisha.” Tazama sura |