Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 6:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Kristo anawezaje kupatana na Shetani? Mwaamini ana uhusiano gani na asiyeamini?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Kristo anawezaje kupatana na Shetani? Mwaamini ana uhusiano gani na asiyeamini?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Kristo anawezaje kupatana na Shetani? Mwaamini ana uhusiano gani na asiyeamini?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Kuna mapatano gani kati ya Al-Masihi na Beliari? Yeye aaminiye ana sehemu gani na yeye asiyeamini?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Kuna mapatano gani kati ya Al-Masihi na Beliari? Yeye aaminiye ana sehemu gani na yeye asiyeamini?

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 6:15
14 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Eliya akawakaribia watu wote, akanena, Mtasitasita katikati ya mawazo mawili hata lini? BWANA akiwa ndiye Mungu, mfuateni; bali ikiwa Baali ni Mungu, haya! Mfuateni yeye. Wale watu hawakumjibu neno.


Lakini Zerubabeli, na Yoshua, na wakuu wengine wa koo za mababa katika Israeli, wakawaambia, Ninyi haiwahusu kushirikiana nasi katika kumjengea Mungu wetu nyumba; bali sisi wenyewe peke yetu tutamjengea BWANA, Mungu wa Israeli, nyumba, kama mfalme Koreshi, mfalme wa Uajemi, alivyotuamuru.


Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.


walioamini wakazidi kuongezeka kwa Bwana, wengi, wanaume na wanawake;


Lakini Petro akamwambia, Fedha yako na ipotelee mbali pamoja nawe, kwa kuwa umedhania ya kuwa karama ya Mungu yapatikana kwa mali.


Bali mwashitakiana, ndugu kwa ndugu, tena mbele yao wasioamini.


Lakini mtu yeyote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini.


na kupitia kwake mmekuwa wenye kumwamini Mungu, aliyemfufua katika wafu akampa utukufu; hata imani yenu na tumaini lenu liwe kwa Mungu.


Hapo walipokuwa wakifurahisha mioyo yao, tazama, watu wa mji huo, watu mabaradhuli wakaizingira hiyo nyumba pande zote, wakagonga mlango; wakasema na huyo mwenye nyumba, huyo mzee, na kumwambia, Mlete nje mtu yule aliyefika nyumbani kwako, ili tupate kumjua.


Basi sasa watoeni watu hao, hao mabaradhuli walio katika Gibea, ili tuwaue, na kuuondoa uovu katika Israeli. Lakini Benyamini hawakukubali kuisikia sauti ya ndugu zao wana wa Israeli.


Basi, hao wana wa Eli walikuwa watu wasiofaa kitu; hawakumjali BWANA,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo