Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 6:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Basi, ili mlipe kadiri ile mliyopewa (nasema nanyi kama na watoto), nanyi pia mkunjuliwe mioyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Sasa nasema nanyi kama watoto wangu: Wekeni mioyo yenu wazi kama nasi tulivyofanya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Sasa nasema nanyi kama watoto wangu: Wekeni mioyo yenu wazi kama nasi tulivyofanya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Sasa nasema nanyi kama watoto wangu: wekeni mioyo yenu wazi kama nasi tulivyofanya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Sasa nasema kama na watoto wangu: Ninyi pia ifungueni mioyo yenu kabisa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Sasa nasema, kama na watoto wangu: Ninyi pia ifungueni mioyo yenu kabisa.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 6:13
19 Marejeleo ya Msalaba  

Nitakwenda mbio katika njia ya maagizo yako, Utakaponipanulia ufahamu wangu.


Mimi ndimi BWANA, Mungu wako, Niliyekupandisha toka nchi ya Misri; Fumbua sana kinywa chako nami nitakijaza.


Kwa sababu hiyo nawaambia, Yoyote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu.


Ndugu zangu, nawasihi, iweni kama mimi, maana mimi ni kama ninyi. Hamkunidhulumu kwa lolote.


Watoto wangu wadogo, ambao nawaonea uchungu tena mpaka Kristo aumbike ndani yenu;


vile vile, kama mjuavyo, jinsi tulivyomwonya kila mmoja wenu kama baba awaonyavyo watoto wake mwenyewe, tukiwatia moyo na kushuhudia;


Watoto wangu wadogo, nawaandikia haya ili kwamba msitende dhambi. Na kama mtu akitenda dhambi tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki,


Watoto wadogo, tusipende kwa neno, wala kwa ulimi, bali kwa tendo na kweli.


Watoto wadogo, mtu na asiwadanganye; atendaye haki ana haki, kama yeye alivyo na haki;


Sina furaha iliyo kuu kuliko hii, kusikia ya kwamba watoto wangu wanakwenda katika kweli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo