2 Wakorintho 5:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Lakini tuna moyo mkuu; nasi tunaona ni afadhali kutokuwemo katika mwili na kukaa pamoja na Bwana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Lakini tuko imara na tungependelea hata kuyahama makao haya, tukahamie kwa Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Lakini tuko imara na tungependelea hata kuyahama makao haya, tukahamie kwa Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Lakini tuko imara na tungependelea hata kuyahama makao haya, tukahamie kwa Bwana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Naam, tuna ujasiri, na tunaona ingekuwa bora zaidi kuuacha mwili huu na kwenda kukaa na Bwana Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Naam, tunalo tumaini na ingekuwa bora zaidi kuuacha mwili huu na kwenda kukaa na Bwana Isa. Tazama sura |