2 Wakorintho 5:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Basi siku zote tuna moyo mkuu; tena twajua ya kuwa, wakati tuwapo hapa katika mwili, tunakaa mbali na Bwana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Tuko imara daima. Tunajua kwamba kuishi katika mwili huu tu ni kukaa mbali na Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Tuko imara daima. Tunajua kwamba kuishi katika mwili huu tu ni kukaa mbali na Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Tuko imara daima. Tunajua kwamba kuishi katika mwili huu tu ni kukaa mbali na Bwana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Kwa hiyo siku zote tuna ujasiri, hata ingawa tunajua kwamba tukiwa katika mwili huu, tuko mbali na Bwana Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Kwa hiyo siku zote tunalo tumaini, hata ingawa tunajua kwamba wakati tukiwa katika mwili huu, tuko mbali na Bwana Isa, Tazama sura |