2 Wakorintho 4:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 tukijua ya kwamba yeye aliyemfufua Bwana Yesu atatufufua sisi nasi pamoja na Yesu, na kutuweka mbele yake pamoja nanyi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Tunajua kwamba yule aliyemfufua Bwana Yesu atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na kutuweka mbele yake pamoja nanyi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Tunajua kwamba yule aliyemfufua Bwana Yesu atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na kutuweka mbele yake pamoja nanyi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Tunajua kwamba yule aliyemfufua Bwana Yesu atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na kutuweka mbele yake pamoja nanyi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 kwa sababu tunajua kwamba yeye aliyemfufua Bwana Isa kutoka kwa wafu atatufufua sisi pia pamoja na Isa na kutuleta sisi pamoja nanyi mbele zake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 kwa sababu tunajua kwamba yeye aliyemfufua Bwana Isa kutoka kwa wafu, atatufufua sisi pia pamoja na Isa na kutuleta sisi pamoja nanyi mbele zake. Tazama sura |