Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wakorintho 4:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Lakini kwa kuwa tuna roho ile ile ya imani; kama ilivyoandikwa, Niliamini, na kwa sababu hiyo nilinena; sisi nasi twaamini, na kwa sababu hiyo twanena;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Maandiko Matakatifu yasema: “Niliamini, ndiyo maana nilinena.” Nasi pia, tukiwa na moyo huohuo wa imani, tunaamini, na kwa sababu hiyo twanena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Maandiko Matakatifu yasema: “Niliamini, ndiyo maana nilinena.” Nasi pia, tukiwa na moyo huohuo wa imani, tunaamini, na kwa sababu hiyo twanena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Maandiko Matakatifu yasema: “Niliamini, ndiyo maana nilinena.” Nasi pia, tukiwa na moyo huohuo wa imani, tunaamini, na kwa sababu hiyo twanena.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Imeandikwa, “Niliamini, kwa hiyo nimesema.” Kwa roho yule yule wa imani pia tuliamini na hivyo tunasema,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Imeandikwa, “Niliamini, kwa hiyo nimesema.” Kwa roho yule yule wa imani pia tuliamini na hivyo tunasema,

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 4:13
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nilidumisha imani yangu, hata niliposema, Mimi nateseka sana.


Shahidi wa uongo atapotea; Bali mtu asikiaye atasema maneno yadumuyo.


Bali twaamini kwamba tutaokoka kwa neema ya Bwana Yesu vile vile kama wao.


yaani, tufarijiane mimi na ninyi, kila mtu kwa imani ya mwenzake, yenu na yangu.


mwingine imani katika Roho yeye yule; na mwingine karama za kuponya katika Roho yule mmoja;


Basi, kwa kuwa mna tumaini la namna hii, twatumia ujasiri mwingi;


Basi hapo mauti hufanya kazi ndani yetu, bali uzima ndani yenu.


Simoni Petro, mtumwa na mtume wa Yesu Kristo, kwa wale waliopata imani moja na sisi, yenye thamani, katika hali ya Mungu wetu, na Mwokozi Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo