Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 2:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Lakini nafsini mwangu nilikusudia hivi, nisije kwenu tena kwa huzuni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Basi, nimeamua nisiwatembelee tena kuwatia huzuni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Basi, nimeamua nisiwatembelee tena kuwatia huzuni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Basi, nimeamua nisiwatembelee tena kuwatia huzuni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Hivyo nilikusudia moyoni mwangu nisifanye ziara nyingine yenye kuwaumiza ninyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Hivyo nilikusudia moyoni mwangu nisifanye ziara nyingine yenye kuwaumiza ninyi.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 2:1
13 Marejeleo ya Msalaba  

Na wale wanafunzi, kila mtu kwa kadiri ya alivyofanikiwa, wakaazimu kupeleka msaada kwa ndugu zao waliokaa Yudea.


Basi baada ya Paulo na Barnaba kushindana na watu hawa na kuhojiana nao sana, ndugu wakaamuru kwamba Paulo na Barnaba na wengine miongoni mwao wapande kwenda Yerusalemu kwa mitume na wazee ili kuzungumza juu ya suala hilo.


Barnaba akaazimu kumchukua Yohana aliyeitwa Marko pamoja nao.


Maana niliazimu nisijue neno lolote kwenu ila Yesu Kristo, na yeye aliyesulubiwa.


Mnataka vipi? Nije kwenu na fimbo, au nije katika upendo na roho ya upole?


Kwa maana kweli, nisipokuwapo kwa mwili, lakini nikiwapo kwa roho, mimi mwenyewe nimekwisha kumhukumu yeye aliyetenda jambo hilo, kana kwamba nikiwapo.


Lakini mimi namwita Mungu awe shahidi juu ya roho yangu, ya kwamba, kwa kuwahurumia sijafika Korintho.


Kwa sababu hiyo, naandika haya nikiwa mbali nanyi, ili, nikija, nisiwe na ukali wa kadiri ya uwezo ule niliopewa na Bwana, kwa kujenga wala si kwa kubomoa.


Maana katika dhiki nyingi na taabu ya moyo niliwaandikia nikiwa na machozi mengi; si kwamba mhuzunishwe, bali mpate kujua upendo wangu nilio nao kwenu jinsi ulivyo mwingi.


Wakati nitakapomtuma Artema kwako au Tikiko, jitahidi uwezavyo kujiunga nami katika Nikopoli; kwa kuwa nimekusudia kukaa huku wakati wa baridi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo