2 Wakorintho 13:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Maana hatuwezi kutenda neno lolote kinyume cha kweli, bali kwa ajili ya kweli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Maana hatuwezi kuupinga ukweli; uwezo tulio nao ni wa kuuendeleza ukweli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Maana hatuwezi kuupinga ukweli; uwezo tulio nao ni wa kuuendeleza ukweli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Maana hatuwezi kuupinga ukweli; uwezo tulio nao ni wa kuuendeleza ukweli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Kwa maana hatuwezi kufanya lolote kinyume na kweli, bali kuithibitisha kweli tu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kwa maana hatuwezi kufanya lolote kinyume na kweli, bali kuithibitisha kweli tu. Tazama sura |