2 Wakorintho 12:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Kwa ajili ya kitu hicho nilimsihi Bwana mara tatu kwamba kinitoke. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Nilimsihi Bwana mara tatu kuhusu jambo hili ili linitoke. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Nilimsihi Bwana mara tatu kuhusu jambo hili ili linitoke. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Nilimsihi Bwana mara tatu kuhusu jambo hili ili linitoke. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Kwa habari ya jambo hili, nilimsihi Mwenyezi Mungu mara tatu aniondolee mwiba huu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kwa habari ya jambo hili nilimsihi Bwana Isa mara tatu aniondolee mwiba huu. Tazama sura |