Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wakorintho 12:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Kuhusu mtu kama huyo nitajisifu; lakini kwa ajili ya nafsi yangu sitajisifu, isipokuwa kuhusu udhaifu wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Basi, nitajivunia juu ya mtu wa namna hiyo, na si juu yangu mimi binafsi, isipokuwa tu juu ya udhaifu wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Basi, nitajivunia juu ya mtu wa namna hiyo, na si juu yangu mimi binafsi, isipokuwa tu juu ya udhaifu wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Basi, nitajivunia juu ya mtu wa namna hiyo, na si juu yangu mimi binafsi, isipokuwa tu juu ya udhaifu wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Nitajisifu kwa ajili ya mtu kama huyo, lakini sitajisifu mwenyewe, ila nitajisifia udhaifu wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Nitajisifu kwa ajili ya mtu kama huyo, lakini sitajisifu kuhusu mimi mwenyewe ila mimi nitajisifia udhaifu wangu.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 12:5
5 Marejeleo ya Msalaba  

ili litimie lile neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema, Mwenyewe aliutwaa udhaifu wetu, Na kuyachukua magonjwa yetu.


Nami nilikuwako kwenu katika hali ya udhaifu na hofu na kwa kutetemeka sana.


Ikinibidi kujisifu, nitajisifia mambo ya udhaifu wangu.


Sina budi kujisifu, ijapokuwa haipendezi; lakini nitafikia maono na mafunuo ya Bwana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo