Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 12:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Je! Mtu yeyote niliyemtuma kwenu, kwa mtu huyo niliwatoza kitu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Je, mimi niliwanyonyeni kwa njia ya mjumbe yeyote niliyemtuma kwenu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Je, mimi niliwanyonyeni kwa njia ya mjumbe yeyote niliyemtuma kwenu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Je, mimi niliwanyonyeni kwa njia ya mjumbe yeyote niliyemtuma kwenu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Je, nilijipatia faida kwa kumtumia mtu yeyote niliyemtuma kwenu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Je, nilijipatia faida kwa kumtumia mtu yeyote niliyemtuma kwenu?

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 12:17
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini akasema, Kama BWANA aishivyo, ambaye nimesimama mbele yake, sipokei kitu. Akamshurutisha apokee; lakini akakataa.


na kuvumilia mateso mengi kutoka kwa matabibu wengi, na kugharimiwa mali yake yote aliyokuwa nayo, kusimfae hata kidogo, bali hali yake ilizidi kuwa mbaya.


Lakini, Timotheo akija, angalieni akae kwenu pasipo hofu; maana anaifanya kazi ya Bwana vile vile kama mimi mwenyewe;


Kwa sababu hii nimemtuma Timotheo kwenu, aliye mwanangu mpendwa, mwaminifu katika Bwana, atakayewakumbusha njia zangu zilizo katika Kristo, kama vile nifundishavyo kila mahali katika kila kanisa.


Nilimwonya Tito, nikamtuma ndugu yule pamoja naye. Je! Tito aliwatoza kitu? Je! Hatukuenenda kwa Roho yeye yule na katika nyayo zile zile?


Basi niliona ya kuwa ni lazima niwaonye ndugu hawa watangulie kufika kwenu, na kutengeneza mapema karama yenu mliyoahidi tangu zamani, ili iwe tayari, na hivi iwe kama kipawa, wala si kama kitu kitolewacho kwa nguvu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo